Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ametaja majina ya watuhumiwa wengine 65 wa madawa ya kulevya, wakiwemo Mwenyekiti wa Chadema na...
MAKONDA AITWA BUNGENI KUJIELEZA BAADA YA KUDAIWA KUDHARAU BUNGE
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kauli moja limewaita mbele ya Kamati yake ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge Mkuu wa Mkoa w...
RC MAKONDA AJIBU HOJA KUHUSIKA NA DAWA ZA KULEVYA
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paulo Makonda ametupa jiwe gizani kwa kumjibu Wema Sepetu baada ya siku chache zilizopita kuenea kwa sauti y...
BODI YA MIKOPO YATOA UFAFANUZI KUHUSU WANAFUNZI WALIOKOSA MIKOPO
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetoa ufafanuzi kuhusu vigezo inavyotumia katika kuchambua, kupanga na kutoa mikop...
KURASA ZA MBELE NA NYUMA MAGAZETI YA LEO JUMATATU,OKTOBA 31,2016
Magazetini leo Jumatatu October 31 2016
ANGALIA HAPA MATOKEO YA MTIHANI DARASA LA SABA 2016
Serikali imetangaza matokeo ya mtihani wa darasa la 7 kwa mwaka 2016 ambapo ufaulu umeongezeka kwa asilimia 2.52 na shule iliyoongoz...
RAIS MAGUFULI AWEKA JIWE MRADI WA HOSTEL CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM,KAZUNGUMZIA SAKATA LA MIKOPO KWA WANAFUNZI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiweka jiwe la msingi katika mradi wa ujenzi wa Hosteli za Wanafunzi katik...
MKUU WA MKOA WA ARUSHA ATEMBELEA KWA NYOTA YA MBUNGE WA CHADEMA,GODBLESS LEMA
Kama mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema anapambana na Mrisho Gambo ili kujijenga kwa wananchi wake, basi mkuu huyo wa mkoa ananufaika n...
SERIKALI YAREJESHA POSHO YA SH 8500 KWA SIKU KWA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU NCHINI
Bodi ya Mikopo kwa Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetuliza hasira za wanafunzi wa vyuo vikuu kwa kurejesha posho ya chakula na malaz...
SERIKALI YATANGAZA VITA KUKABILIANA NA NJAA TANZANIA
Mwezi mmoja tangu Serikali iseme usalama wa chakula ni kwa asilimia 123, jana Ofisi ya Waziri Mkuu imezitaka wizara, mikoa na halmashaur...
KURASA ZA MBELE NA NYUMA MAGAZETI YA TANZANIA LEO IJUMAA,OKTOBA 21,2016
Magazetini leo Tanzania,Ijumaa,Oktoba 21,2016
ANGALIA PICHA: VIJANA 141 WAHITIMU MAFUNZO YA MGAMBO SHINYANGA
Alhamis Oktoba 20,2016- Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro amefunga mafunzo ya Mgambo 141 kutoka halmashauri ya wilaya ya Shinyan...
LORI LAGONGA KIBERENGE CHA TRENI SHINYANGA, WATU SITA WAJERUHIWA,ANGALIA PICHA HAPA
Askari polisi wa usalama barabarani wakiwa eneo la tukio,kulia ni kiberenge kilichogongwa na lori lililokuwa limebeba bia leo mjini Shinyan...
Angalia Picha: MAADHIMISHO YA SIKU YA POSTA DUNIANI ,MWANZA WAIBUKA KIDEDEA SHINDANO LA UANDISHI WA BARUA KITAIFA
Meneja wa Shirika la Posta mkoani Mwanza, Julius Chifungo, akizungumza kwenye Maadhimisho ya Siku ya Posta Duniani ambayo kimkoa yamefanyik...
Ukatili wa Kutisha!! WALIMU WAMSHUSHIA KIPIGO MWANAFUNZI OFISINI KWA ZAMU,WAZIRI WA MAMBO YA NDANI AAGIZA WAKAMATWE MARA MOJA
Video hii ambayo imesambaa kwenye mitandao ya kijamii kuanzia leo alfajiri inawaonyesha walimu wakichangia kumpiga mwanafunzi mmoja nda...
ASKARI POLISI TISA WANUSURIKA KIFO AJALI YA GARI KWENYE MBIO ZA MWENGE WA UHURU SHINYANGA
Kamanda wa polisi mkoa wa Shinyanga ACP Muliro Jumanne Muliro TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI:
MPYA:HII HAPA LIST YA VYUO VILIVYOTOA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA SECOND ROUND VYUO VIKUU MBALIMBALI 2016/2017
Tumekuwekea list ya vyuo vikuu ambavyo vimetoa majina ya wanafunzi waliochaguliwa na joining instructions za kujiunga na vyuo vikuu 2016/20...
HII HAPA LIST YA VYUO VILIVYOTOA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA SECOND ROUND VYUO VIKUU MBALIMBALI
CHUO CHA MARIAN (SECOND ROUND) >> BONYEZA HAPA <<
HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA CHUO KIKUU ST.AUGUSTINE UNIVERSITY OF TANZANIA-SAUT 2016/2017- FIRST AND SECOND ROUND
MCHINA AFARIKI KWA KUKANDAMIZWA NA MTAMBO WA KUSHINDILIA LAMI HUKO ARUSHA
Ujenzi wa barabara ya kuanzia Tengeru Arusha hadi Taveta Voi ya ukubwa wa km 234.3 iliyozinduliwa March 3 mwaka huu na Rais John Magufuli...












